Decoration & Catering Services

Decoration & Catering Services

Boutique

Boutique

Friday, August 17, 2012

HII NDIO SABABU YA KITAAOLOJIA KUSOGEZWA MBELE MPAKA MWAKANI

The long awated album, kutoka kwa the hiphop Mc anaewakilisha Rock City Mwanza, Fid Q, yenye jina KITAOLOGIA imeahirishwa kuingia sokoni kama ilivyokuwa imepangwa kutoka august 13 mwaka huu, na kusogezwa mbele mpaka mwakani.
nikiongea na Fid Q mwenyewe amesema sababu za kusogeza mbele album hiyo ni kusubiri sheria ya haki za kazi za wasanii kupitishwa na bunge.
" ndio nimeisogeza mbele mpaka mwakani kwasababu nasubiri sheria ya haki za kazi za wasanii ipitishwe, yaani ikipita leo kesho naachia album.

0 comments:

Post a Comment