Decoration & Catering Services

Decoration & Catering Services

Boutique

Boutique

Thursday, May 29, 2014

Uchungaji wa Flora Mbasha, wamfanya mumewe Emannuel abake

Wakati kesi ya ubakaji inayo mkabili mume wa mwanamuziki wa nyimbo za Injili hapa nchini, Emmanue Mbasha, lawama sasa zaelekezwa kwa Flora Mbasha ambae ndiye mke mtu.
Lawama hizo zimetolewa na  baadhi ya watu waliyo karibu sana na familia hiyo, kuwa mwanamama Flora Mbasha, ambae kwasasa yuko katika mafunzo na mbioni atakuwa mchungaji wa kanisa fulani hapa mjini, humuacha sana mume wake, kutokana na wingi wa safari za kimafunzo alizo nazo Flora jambo ambalo linatathiminiwa kuwa gumu kwa mwanamume yoyote yule, licha ya kuonekana kuwa chanzo cha Emanuel Mbasha kumbaka shemejie.
Mpaka sasa Emamnuel Mbasha haijajulikana yupo wapi, japo tayari ameshafunguliwa kesi  yenye Kumbukumbu Na. TBT/RB/3191/2014 na ya Jalada  la  Uchunguzi  Na. TBT/IR/1865/2014

0 comments:

Post a Comment