Diamond Platinumz a.k.a babaa Penny au babaa Wololoo, leo hii amefunguka kuhusu kuvuja kwa ngoma yake "Nikifa
Kesho" ambapo amemlaumu producer na inaonekana sababu ni baada ya yeye
kuacha kurecord katika studio hiyo.
Bado haijajulikana producer huyo ni nani hasa...endelea kufatilia hapa utajua
0 comments:
Post a Comment