Decoration & Catering Services

Decoration & Catering Services

Boutique

Boutique

Thursday, May 29, 2014

Mamia wamlilia 'Maxmilian Ngobe'.

Gari ya maiti ilipofika Uwanjani Leaders Club


Ndipo ndugu, jamaa na marafiki walipoanza kuubeba mwili wa rafiki yao Maxcmilian Ndube.




Aliyebeba msalaba ni moja kati ya vijana waliyo kuwa wakifanya kazi na marehemu pale Mliimani Tv, na wa nyuma mwenye picha ndiye mtoto wake wa kwanza.

Mamia ya watu walihudhuria

Mwakilishi wa waandishi wa habari.

 mwakilishi wa madereva bajaji Makubusho, Bw. Chaurembo akizungumza kwa niaba ya madereva bajaji wa kituo cha Makumbusho, ambao walikuwa marafiki wakubwa wa marehemu.

Shamimu Mlacha, Zainabu Mtima na Khadija Mzee katika hali ya taharuki na majonzi tele wakiwa kama wafanyakazi wenzie na marehemu Max, pale Mlimani Tv.

Dkt. Warioba akiuaga mwili wa marehemu.

 Jerry Muro nae alitoa heshima zake za mwisho

Mkongwe wa tasnia ya habari, Ernest Mrutu, amabe pia alikuwa ni mfanyakazi mwenzie na marehemu, akitoa heshima zake za mwisho.

Hivi ndivyo ilivyokuwa jana pale leaders Club, katika msiba wa Maxmilian Ngobe, aliyezaliwa mwaka 1960 kule nchini Congo na kufikwa na umauti kwasababu na maradhi ya ini, pamoja na moyo kuwa mkubwa.

Mpaka umauti unamfika, marehemu Maxmilan alikuwa ni mpiga picha wa Mlimani Tv, kituo kilichopo chini ya chuo kikuu cha Dar es Salaam, akitokea katika gazeti na Star Tv, alikowahi kufanya kazi kwa miaka mitano mfululizo.

Marehemu Maxmilani Ngobe ameacha mjane, watoto wakiume watatu na wakike mmoja ambao k

0 comments:

Post a Comment