Justin Bieber
Mwanamuziki
wa mtindo wa POP mwenye asili ya Kijerumani, Justin Bieber, jana
amepandishwa kizimbani nchini Marekani anapoishi, kwa kosa la
kuendesha gari huku akiwa amelewa.
Kesi
hiyo si ya kwanza kwa mwanamuziki huyu, kwani amekwishawahi fikishwa
mahakamani mwaka jana kwa makosa kadhaa, likiwemo la kuwatemea mate
kutoka ghorofani, watu waliyo ripotiwa kuwa mashabiki wake.
Kwa
kosa hilo, huwenda Bieber atafungwa ama kutozwa faini kubwa kama
walivyowahi fanyiwa wanamuziki wengine maarufu nchini humo.
0 comments:
Post a Comment